• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri Tamisemi awafunda Watumishi Halmashauri ya Mkinga

Posted on: February 14th, 2019

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Dkt Mary Mwanjele  amefanya ziara ndani ya Wilaya ya mkingnga siku ya tarehe 14/02/2019  sambamba na Ziara hiyo Mh Mary  Mwanjele alifanya Kikao na Watumishi wa Halmashauri na Kuwahasa Juu ya Utawala Bora na namna ya kufanya kazi kwa kufata misingi na Haki za Binadamu na Kufata Sheria na Taratibu za kazi ikiwemo suala zima la kuwahi kazini kwa wakati na kuondoka kwa wakati, 

vilevile Mh. Marry ameagiza Ujenzi wa Kituo Cha AfyA Kiwegu Kufanyiwa Uchunguzi Kwani kunaonekana kuwa na ubadhilifu Mkubwa wa Fedha za Umma na ameagiza TAKUKURU kufuatilia suala hilo kwa umakini zaidi na kuhakikisha kwa kila aliehusika na suala hilo anachukuliwa hatua kali za kisheria. 

Dr. Mary pia alisisitiza zaidi kwenye Suala zima la kuwatumikia wananchi Ikiwa kila Mtumishi anatakiwa Kuwatumikia wananchi wanyonge nia ikiwa ni kumsaidia Mh. Rais wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli.

kwenye ziara yake pia Mh Mary alitembelea Miradi ya Wanufaika wa TASSAF na kuwasikiliza walengwa wakizungumza namna ambavyo wamenufaika na Mradi huu Mh Mary aliwapongeza Wananchi wa Mkinga Kwa kupokea Mradi vizuri na Kujiendeleza.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 29, 2019
  • ORODHA YA WATAKAOSHIRIKI USAILI January 29, 2019
  • TANGAZO LA KAZI September 10, 2017
  • Huduma ya Ushauri wa Kisheria April 27, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA BIMA YA AFYA YA JAMII ILIYOBORESHWA

    October 29, 2019
  • Kituo cha Afya Mjesani Rasmi kutoa huduma ya Upasuaji

    September 20, 2019
  • Kituo cha Afya Mjesani, Wakabidhiwa Gari la Wagonjwa

    September 20, 2019
  • Washauri wa Kisheria Wilaya Mkinga wanufaika na Mafunzo ya Kisheria

    May 02, 2019
  • Angalia Zaidi

Video

Kikao cha Wazee wa Maramba na Mhe. Mkuu wa Wilaya ndugu Yona Mark
Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • OR- TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi
  • Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera , Tanga-Horohoro Road

    Postal Address: P.o.Box 6005 Tanga

    Simu: +255 27 2977200

    Simu: +255 684625299

    Barua Pepe: info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Mkinga .Haki zote zimehifadhiwa.